Jump to content


What is Bongo Flava? P-Funk Answers the Q's!


4 replies to this topic

#1 swahiliremix

    Member

  • Members
  • PipPip
  • 23 posts
  • LocationTanzania

Posted 21 November 2007 - 07:37 AM

Oliver Valente interviews Tanzania's most prominent Bongo Flava producer, P-Funk. Credited as one of the founders of the genre P-Funk speaks about the origins of Swahili hip-hop.

http://www.swahilire...id=957&Itemid=1
http://WWW.SWAHILIREMIX.COM - Tanzania's Urban Culture Online with a focus on music

TANZANIA - The land of Kilimanjaro and Zanzibar

#2 EMPTY P

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 6 posts
  • LocationDAR ES SALAAM,TANZANIA

Posted 15 January 2008 - 12:39 PM

Yeeaaa, unajua nini watu wangu, tusibishane sana kuhusu what is hiphop and what is bongo fleva.Bongo fleva ni mjumuisho wa miziki ya ladha tofauti zinazopatikana bongo ikiwepo hiphop,zouk,reggae,rnb,takeu,nk,Cha msingi sisi ni kuheshimu tu kazi ya kila mmoja,tuache ubishani wa kidwanzi

#3 Juma4

    African Hip Hop Admin

  • Administrators
  • 1,015 posts
  • LocationAmsterdam

Posted 15 January 2008 - 01:10 PM

Poa Empty P umesema ukweli...
ingawa natumai watu waliochagua kuendelea kwenye real hip hop wapewe nafasi kwenye media kama waBongoflava wanavyopewa.
Native listener since the days of the old school

#4 MbayaWao

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 1 posts

Posted 31 August 2009 - 02:16 PM

what is bongo flava? hey is so ridiculous question to the kind of people like you {producer}
if you don know, bongo flaver is speaking of what people say but not what you say but what people says. Music in short must be based on reality - you think Bongo Flava is based on reality? Tell me.

#5 phatbeattz

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 32 posts
  • LocationTanzania

Posted 01 September 2009 - 06:57 PM

Yea i think hip hop in Tanzania will die because of stupidity of some media and Mceez,
media these days do not play hip hop tracks ati waona bora wagongee nyimbo za type nyingina na sio hip hop.
pia Mceez wanatakiwa kuwa na busara sana, waache beef za kijinga zinafanya tushushe hip hop kwa mashabiki wetu

we need to be serious sana.

Peace
i will die doing it...

www.myspace.com/phatbeattz





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users