Oliver Valente interviews Tanzania's most prominent Bongo Flava producer, P-Funk. Credited as one of the founders of the genre P-Funk speaks about the origins of Swahili hip-hop.
http://www.swahilire...id=957&Itemid=1
What is Bongo Flava? P-Funk Answers the Q's!
Started by swahiliremix, Nov 21 2007 07:37 AM
4 replies to this topic
#1
Posted 21 November 2007 - 07:37 AM
http://WWW.SWAHILIREMIX.COM - Tanzania's Urban Culture Online with a focus on music
TANZANIA - The land of Kilimanjaro and Zanzibar
TANZANIA - The land of Kilimanjaro and Zanzibar
#2
Posted 15 January 2008 - 12:39 PM
Yeeaaa, unajua nini watu wangu, tusibishane sana kuhusu what is hiphop and what is bongo fleva.Bongo fleva ni mjumuisho wa miziki ya ladha tofauti zinazopatikana bongo ikiwepo hiphop,zouk,reggae,rnb,takeu,nk,Cha msingi sisi ni kuheshimu tu kazi ya kila mmoja,tuache ubishani wa kidwanzi
#3
Posted 15 January 2008 - 01:10 PM
Poa Empty P umesema ukweli...
ingawa natumai watu waliochagua kuendelea kwenye real hip hop wapewe nafasi kwenye media kama waBongoflava wanavyopewa.
ingawa natumai watu waliochagua kuendelea kwenye real hip hop wapewe nafasi kwenye media kama waBongoflava wanavyopewa.
Native listener since the days of the old school
#4
Posted 31 August 2009 - 02:16 PM
what is bongo flava? hey is so ridiculous question to the kind of people like you {producer}
if you don know, bongo flaver is speaking of what people say but not what you say but what people says. Music in short must be based on reality - you think Bongo Flava is based on reality? Tell me.
if you don know, bongo flaver is speaking of what people say but not what you say but what people says. Music in short must be based on reality - you think Bongo Flava is based on reality? Tell me.
#5
Posted 01 September 2009 - 06:57 PM
Yea i think hip hop in Tanzania will die because of stupidity of some media and Mceez,
media these days do not play hip hop tracks ati waona bora wagongee nyimbo za type nyingina na sio hip hop.
pia Mceez wanatakiwa kuwa na busara sana, waache beef za kijinga zinafanya tushushe hip hop kwa mashabiki wetu
we need to be serious sana.
Peace
media these days do not play hip hop tracks ati waona bora wagongee nyimbo za type nyingina na sio hip hop.
pia Mceez wanatakiwa kuwa na busara sana, waache beef za kijinga zinafanya tushushe hip hop kwa mashabiki wetu
we need to be serious sana.
Peace
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users













