nimefurahi lakini nina swali?
nipo poa
Started by Guest_binda_*, Mar 21 2004 07:15 AM
6 replies to this topic
#1 Guest_binda_*
Posted 21 March 2004 - 07:15 AM
#2 Guest_tema_*
Posted 22 March 2004 - 11:43 AM
:roll: :wink: vipi
#3
Posted 17 July 2006 - 10:29 AM
ume pagawa nini wewe?
#4
Posted 17 July 2006 - 04:18 PM
eh! tena umejibu topic la ki oldi skool kabisa... angalia tarehe ya posting hizi mbili zilizo tangulia zinasema mwaka 2004...!!
Sasa ngoja nikupe maneno ya Old School slang ya kiSwahili ambayo nadhani yameshakufa.
-kata shingo
-macho balbu
-check bob
-mzee kifimbo cheza
halafu neno jipya la mwaka 1994 DINGI naona mpaka leo linatumika kwa kumwita Baba.
Kumbuka gazeti la Sani? Icheki hii web ya cartoons za TZ kuna baadhi ya vikatuni vya enzi hizo...
http://www.vmcaa.nl/...oons/index.html
Sasa ngoja nikupe maneno ya Old School slang ya kiSwahili ambayo nadhani yameshakufa.
-kata shingo
-macho balbu
-check bob
-mzee kifimbo cheza
halafu neno jipya la mwaka 1994 DINGI naona mpaka leo linatumika kwa kumwita Baba.
Kumbuka gazeti la Sani? Icheki hii web ya cartoons za TZ kuna baadhi ya vikatuni vya enzi hizo...
http://www.vmcaa.nl/...oons/index.html
#5
Posted 17 July 2006 - 04:24 PM
hahahaha
simchezo baba
slang iyooo kitambo wakati nipo shule.
duu kweli old is gold
simchezo baba
slang iyooo kitambo wakati nipo shule.
duu kweli old is gold
#6
Posted 12 April 2007 - 10:01 PM
mdingo-thief
toast-idiot
mzeeya-a pal..like vipi mzeeya?
raia-ma boyz
choma para/choma picha- destroyin an image of som.
kuta vitu-get som(ass)
toast-idiot
mzeeya-a pal..like vipi mzeeya?
raia-ma boyz
choma para/choma picha- destroyin an image of som.
kuta vitu-get som(ass)
#7
Posted 12 May 2008 - 11:53 AM
ng'ana-ganja
hamna lolo-nothin
hamna lolo-nothin
ZAO LA MTAA
T.M.K akademy-non shobo squad
T.M.K akademy-non shobo squad
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












