waafrika tuna style?
#1
Posted 06 November 2001 - 04:10 PM
nikiangalia historia naona:
wamasai walikuwa wanasuka
wazee wakikurya wanatoboa masikio
wamakonde chale(tatoo)
sasa inakuwaje ukiyafanya hayo mambo unaonekana noma
#2 Guest_<sosa>_*
Posted 06 November 2001 - 04:41 PM
Kuhusu mada ni hivi kusuka bwana ni swala la kawaida sema tu wazee wetu toka watawaliwe basi wamesahau kabisa mila na jadi na wamekua wakoloni, lakini watu kibao mbona wanasuka tu sema noma kwa wale wanaoishi kwenye family ya kisomi ndio mara nyingi wazee wana wa piga vita.
Lakini kusuka nako kunatokana na mtu maisha anayo ishi sio kwamba wewe muhasibu au lawyer alafu unakua unasuka nyewele hiyo kidogo inakua unaenda kinyume lakini kama ni mwenzangu na mie maisha yako mpeleke mpeleke poa tu ukisuka.
Peace images/smiles/icon_wink.gif
#3
Posted 06 November 2001 - 07:33 PM
unajua hii babylon system haita toka kwenye damu yetu weka pembeni baba zetu walivyo wakoloni hata sie wenyewe majanki utakuta mtu anamtolea jicho mwenzake huku akishadadia ni mvuta ba**i kisa ameweka rasta.
#4
Posted 07 November 2001 - 02:47 AM
Na sio kusuka tuu, mimi ninambonge wa afro, nilianza kuutunza tangu nina 15. basi siku moja mateacher wakanilia njuga wanataka niutembeze mbele nibaki na unga.
Mshikaji nikatia numu basi wakaja na mikasi, nikauvunja wa kwanza wakanipiga mkwara watanifukuza skuli, ikabidi ninyong'onyee.
Wakagonga msaraba bwana halafu wakaniacha niende nikajilipie kwa kinyozi.
Kesho yake nikarudi na msaraba kichwani, wakazani labda keshokutwa yake nitauondoa, basi mara mwezi mara wa pili mara afro likarudi sasa kilichonishangaza ni kwamba hawakusema lolote japo nywele hivi sasa ndio zilionekana za kihuni au kichaa wa kweli, sasa sijui ni kwamba hawakupendelea nikipendeza au vipi bwana mii hata sijui yaani images/smiles/icon_confused.gif .
Lakini tangu siku hiyo nikagundua kumbe bwana hawa waliotangulia soi ndio kwamba ni wenye busara kuliko sie, upeo wao mdogo sana na hawajaendelea wanaishia kutuzibia tunaokuja.
Peace.
#5
Posted 07 November 2001 - 09:35 AM
ukitaka kujua wabongo kazi yao kusimanga bila kuchunguza mambo,fikiria kuhusu kuwa iced out.utajipigilia macheni ya platinum kesho mbongo atasema umewageza wamarekani wanataka uvae shanga wakati anasahau hayo madini yanatokea huku kwetu yanakwenda kudesigniwa kiwanja sasa sijui hayo madini yanamilikiwa na wazungu.
#6 Guest_<mi cant believe mi ey_*
Posted 07 November 2001 - 09:21 PM
Nimekuwa nikitengeneza beatz by ma self kwa miezi kadhaa!!I mean nina library yangu ya beatz ..nitaanza kuwapa beatz zangu chache kwenye hili webu...halafu mniambie kama zitawafaa vijana wetu wa kibongo kwa kutumia linkz...so yall betta sneak around!!
#7
Posted 08 November 2001 - 04:12 AM
pili,muziki ni kama mtoto unakuwa kwa hiyo vuta subira bado mtoto anajifunza kutembea kuna siku ataanza kukimbia.
jaribu kukumbuka hao maproducer na wasanii hawanufaiki kwa sana wala nini kwa hiyo usitegemee tuwena studio kama master P.
halafu naomba unifafanulie ni jinsi gani wasanii wanatakiwa kuwa kwani hapo sijakuelewa kidogo.
#8 Guest_<BURNER>_*
Posted 14 November 2001 - 11:00 PM
WANATAKA SIFA AU,LAKINI ANYWAY INAWEZEKANA KA
BISA IKAWA SI KUSUDIO LAKE ILA NI KUTO KUELEW
A TU.NAMZUNGUMZIA HUYO MSHIKAJI ALIYEKUJA BAA
DA YAKO(BONGONIAN)KAACHA KABISA MADA!!!!
SASA NI HIVI;HILI SWALA LA KUSUKA, KUTOBOA MASIKIO NA KUVAA KATA KUNDU LABDA KWA MC'Z WETU NA VIJANA WOTE KWAUJUMLA,NI SWALA LA KAW
AIDA KABISA SEMA INABIDI UKUBALIANAE NA WAZAZ
I KAMA UNAISHI NAO NA KAMA UMESHAANZA KUJITEG
EMEA BASI NI NAFSI YAKO TU KUKUBALI KUFANYA
JAMBO MOJA WAPO KATI YA HAYO,LAKINI CHA MSING
I SIYO MTU AKULAZIMISHE NA KAMA PIA UNAAMINI
MAMBO YA DINI UNAYOIFUATA BASI JARIBU KUSOMA
KWAMAKINI HAYA ZILIZOPO KATIKA VITABU HUSIKA,
ALAFU UKIGUNDUA KAMA KUNA JAMBO KATI YA HAYO
LIMEKATAZWA NA WEWE UNATAKA UZIMA WA MILELE
BASI ACHANA NALO,INGAWA KWAKUACHA KUFANYA MAM
BO HAYO YALIYOPO JUU SI NDIYO UMESHAFANIKIWA
KWENDA HEAVEN!!!!!!!!AMA SIVYO WASHIKAJI?
LAKINI UKITAZAMA HISTORIA UTAGUNDUA KWAMBA HI
VYO VITU VILIFANYWA NA WATU WAZAMANI,NAWEZA
NIKAKUPA MFANO WA MTU KAMA DEDAN KIMATH,HUYU
ALIKUWA MKENYA NA ALIKUWA NA NATURAL DREAD RO
CK AINA HII YA NYWELE NI MOJAWAPO YA MSUKO NA
HUWA INACHUKULIWA KAMA UHUNI NDANI YA BONGO!!
KAMA ALIVYOSEMA BONGONIAN WAMASAI WANASUKA,WA
NATOBOA TENA MATUNDU MAKUBWA TU!LAKINI HAWAAM
BIWI WAHUNI KWANINI????????HIZO BRINGBRING AC
HANA NAZO,HATA HIZO SOVERNIER ARTS ZINAZOTEN
GENEZWA NA WASANII WETU,TUNAKATAZWA KUVAA!!!
KWAHIYO BWANA KAMA WEWE UNATAKA KUFANYA HAYO
MAMBO JARIBU KUFUATILIA HIZO SEHEMU NILIZOZI
TAJA UKIKUTA POA,BASI KEEP ON...........
LET ME BOUNCE....!!!!!! images/smiles/icon_confused.gif
#9
Posted 15 November 2001 - 03:00 PM
Peace images/smiles/icon_cool.gif
#10
Posted 26 December 2001 - 11:29 PM
#11
Posted 27 December 2001 - 08:23 AM
#12
Posted 27 December 2001 - 04:25 PM
naweza kukwambia nywele za mtu mweusi ndio nywele pekee inayoweza kutumika kwa mitindo mingi kuliko zote mfano rasta,kusuka mitindo yoyote utakayotaka lakini tumeona ni kiasi gani tumekuwa tunapinga vitu vinavyohusu asili kusingizia ni uhuni.
mfano mzuri naweza kukupa ni dada yangu aliyeambiwa anyoe mzizi wake kabla hajapewa kazi hiyo ni bongo lakini angekuwa nywele zake kaweka relaxer basi hatakusingekuwa na matatizo yoyote
kuhusu kuvaa hereni na kutoboa masikio.hizo ice unazodhani ni umarekani nikati ya rasilimali zetu(africa) ambazo tunaibiwa kila siku na hao unaowaona wamaana kwa hiyo tuko entitled kuzitumia kama wazalishaji.au unaona raha kusikia kilasiku zinafukuliwa kwenu halafu wavaaji ni watu walio huko mbali.hebu niambie kwa hiyo mtu akivaa shanga SHINGONI au iced out chain kipi kinaonyesha yeye sio mwafrica
GQ fungua kichwa chako
acha kupenda ya wenzako
kufagilia kila jambo
kuuza asili yako
unazusha ya ng'ambo
hayo si mambo
utawekwa kando
utulizwe mshono
#13
Posted 27 December 2001 - 10:09 PM
#14 Guest_<Geeque>_*
Posted 27 December 2001 - 11:26 PM
#15
Posted 28 December 2001 - 01:14 AM
na umesikia wapi kama kuna mabrazameni feki na wa kweli? brazameni siku zote ni mjingaa tu, au wewe ndio kati ya mabrazameni wa kweli?!?
Na hilo swala la kufwata wamasai kusuka si lazima ikawa hivyo na wala si lazima ikawa mtu kasuka kutokana na wamarekani, inaweza ikawa mtu kamfwata mjomba au kaka nk.
Alafu fala unajiona darasa limepanda, kwanza huko marekani una fanya nini kazi au unasoma?
kama na wewe haukukumbwa kwenye mkumbo wa kuona kwamba marekani ndio kwa kuishi na ndio kuna elimu nzuri zaidi, mlimani pamekushinda. Kwa watu kama nyie kwenda marekani imekua kama trend.
Unajifanya unajua mila na tamaduni za mTanzania? hebu nipe mila na tamaduni za mswahili mbili tatu.
Kama huelewi mambo tuliza mambi fala, rudi kwenu umekaa kunyonya sifyongo la Bush ukirudi Bongo mabraza meni mnajifanya hamjui kiswahili wats up nyingi kumbe mnadensi tu.
Au unahangaika kutafuta uraia?
sasa na wanao nyoa mapanky na pushbeki nao wana geza marekani?
na dada zetu na mamaza wanao tia kalikiti tena mafuta wanayo tumia mengi yanatoka marekani nao tuseme wana wa geza wamarekani?
Maofisa wetu wanao jinyonga matai na ma suti na joto la bongo nao wana geza western au marekani?
kuna ma emcee Japan,Germany,Africa nk...sasa unanyambia waache kurap kwa sababu fani ni ya mmarekani?
Amka fala wewe kila jambo lina mwanzo na sehemu ilipoanzia na wengine wana fwatia...mf tatoo nazo utaema wameanza wamarekani? mbona waJapani wameanza kuji piga matatuu long time kabla hata Afro Americans hawaja shipiwa marekani, na mbona wamakonde wana chanja uso...na watu wamerekebisha na kuji piga matatu ya usoni kiustaarabu lakini sioni tofauti na wamakonde.
Kwa hiyo ni hivi we bibie, nilitaka kukueleza kuwa kila kitu kina mwanzo wake na kama watu wengine wana pendezewa watafanya kama haviingiliani na maswala ya dini zao au mila.
Sasa wewe unatuletea mambo ya nyimbo za kihindi ooo.. nimekaa europe...mara marekani...yanatuhusu nini yote hayo?
Bongonian ujue ndio kama ulivyo sema kipindi flani hawa ndio wale watu wakimuona mtu ana dreadlocks tu basi jamaa yule ni mvuta bangi anageza wamarekani.
Alafu nilivyo soma tu post yake huyu Gqueen na kuona dharau zake, kwanza kaanza na kucheeka mwenyewe alafu anatuita washamba?
yeye ndio kaendelea kwa sana nika jua tu hili ni liswahili librazameni linaloona limefika kilele yani.
Kwanza uta judge vipi mtu eti kavaa koti wakati wa joto basi anageza wamarekani, kama huyo mtu alikua na mafua je??
mindi vyako usitake kufwatilia wengine usiowajua eti mcheki flani kavaa nini images/smiles/icon_confused.gif
mtu haangaliwi alivyo vaa, rangi, au kama kasuka au ana hereni nk...ni tabia na heshima kwa wangine....umekaa sana nje mpaka umekua mshamba rudi kwenu fala.
#16
Posted 30 December 2001 - 11:33 PM
#17 Guest_<Karlescobar@collegecl_*
Posted 31 December 2001 - 01:10 AM
I just fill ya shit , i was in the net then i so ya commet 'bout Tattoo and all that.Anyway mchizi mimi mbongo , be safe and happy new year.
#18
Posted 31 December 2001 - 08:19 AM
#19
Posted 31 December 2001 - 08:34 AM
kuna watu wamekaa mika 9 china lakini tukiongea nao kiswahili hatuja wahi kuwasikia wakijisahau na kuingizia kichina...yani wewe ni brazameni tosha!!
#20
Posted 31 December 2001 - 10:40 PM
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users













