8) Hey sup yall!!
Mambo zenu vipi washikaji??
bwana mimi kuna kitu ambacho kinanikera sana kuona waafrika wanakataa kwao, i mean utakuta wanajifagilia saaaaana au wanajisikia kiasi kwamba ukiongea kuhusa Africa watayosema utadhani hawajui Africa, au hawajazaliwa Africa, Hivi ni kweli mtu mwenye akili zake atasahau kwao, au atakataa kwao?? kwani watu wanasema "MTU KWAO" inkuaje watu wanachange hata majina yao, ili wasiweze kujulikana. NOma hiyooo!! washikaji!!
PENDA UTOKAKO!!
HOllllaaa!!
Utakataaje kwenu???
Started by Guest_lovemakin_*, Oct 10 2003 08:32 PM
2 replies to this topic
#1 Guest_lovemakin_*
Posted 10 October 2003 - 08:32 PM
#2 Guest_ILLA_*
Posted 11 October 2003 - 07:34 AM
Watu kama hawo wanafa kupigwa risasi,, :twisted:
ILLA a.k.a MACHO
ILLA a.k.a MACHO
#3 Guest_MTuKwao_*
Posted 11 October 2003 - 11:24 AM
na mix herufi kubwa na ndogo kuonyesho msisitizo
Asiyependa kwao ujue kweli ana matatizo
Asiyependa kwao ujue kweli ana matatizo
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












