Jump to content


Vazi ni vazi


1 reply to this topic

#1 Guest_Mpula mkilanya_*

  • Guests

Posted 27 August 2002 - 03:37 PM

Nakuunga mkono na pia nakukumbusha kwamba vazi ni vazi,ili mradi tu watu wasiende uchi,Kwani vazi la wabongo ni vazi gani?kama batiki hata wazungu wanazivaa sana lakini sidhani kama kuna mtu kawaambia kwamba waangalie kwanza vazi lao ndo waje wafikirie ya kutoka mbali.kila mtu ana hoby yake ya kuvaa,wewe mwenyewe kwanza jiangalie ni nguo gani unazipendelea alafu urudie tena kuwapa hoja maemceeee.Fubu,mecca zote ni sawa tu na batiki tofauti ni manamba namba kama batiki wakiyatia manamba nadhani watumiaji wataongezeka.
M:P

#2 Guest_kisiwa_*

  • Guests

Posted 28 August 2002 - 08:56 AM

mzee mpula nimekupata wewe lazima utakuwa kipanga
muulize yeye anabatiki ngapi?
mwanangu vazi lolote ni shega tuuu
peace :D





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users