Nakuunga mkono na pia nakukumbusha kwamba vazi ni vazi,ili mradi tu watu wasiende uchi,Kwani vazi la wabongo ni vazi gani?kama batiki hata wazungu wanazivaa sana lakini sidhani kama kuna mtu kawaambia kwamba waangalie kwanza vazi lao ndo waje wafikirie ya kutoka mbali.kila mtu ana hoby yake ya kuvaa,wewe mwenyewe kwanza jiangalie ni nguo gani unazipendelea alafu urudie tena kuwapa hoja maemceeee.Fubu,mecca zote ni sawa tu na batiki tofauti ni manamba namba kama batiki wakiyatia manamba nadhani watumiaji wataongezeka.
M:P
Vazi ni vazi
Started by Guest_Mpula mkilanya_*, Aug 27 2002 03:37 PM
1 reply to this topic
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












