Nimefungua forum mpya kwa ajili ya wenzetu wanaopenda kushindana kwa kutunga rhymes: KiSwahili Battles - tazama main page mtaikuta.
Nimefanya hivi hasa kwa sababu kuna mashindano fulani yanayoendelea yaliyo na matusi kibao... kuna wengine ambao wanatembelea hii site wakiona tu wataamini kwamba sisi wapenzi wa hiphop hatuna ustaarabu.
Fikiria wazee wako wakiingia huku na kusoma kuhusu shoga kufirwa na nini, watasemaje.
Hayo si maoni yangu ila nadhani ni vizuri kama tunabainisha sanaa na maisha, hivi matusi yanaweza kutumika lakini hasa kwa mahali pa ku battle. Pia mtu mmoja kumjibu mwingine kwa lugha yenye matukano haifai hapa, lipeleke Battles!
New forum: KiSwahili Battles - na Msitukane tena huku
Started by Juma4, Aug 27 2002 03:37 PM
1 reply to this topic
#1
Posted 27 August 2002 - 03:37 PM
#2 Guest_SmokeyOBL_*
Posted 28 August 2002 - 11:46 AM
Mambo namna gani J4?
Duh hapo mshkaji umefanya jambo la maana sana
Maana huko mzee ndio tutakuwa tunaoneshana
Kwamba nani ni nani katika mambo ya vina
Na ndipo washikaji wote nitawaonesha uchawi wangu kwa kina
Mpaka watabaki macho pima
Duh SmokeyOBL ametusimamisha wima
Kwa rhymez zake kali
Kweli Smokey jemedari!
Thanks sana kwa kufungua kiswahili battles.........
Duh hapo mshkaji umefanya jambo la maana sana
Maana huko mzee ndio tutakuwa tunaoneshana
Kwamba nani ni nani katika mambo ya vina
Na ndipo washikaji wote nitawaonesha uchawi wangu kwa kina
Mpaka watabaki macho pima
Duh SmokeyOBL ametusimamisha wima
Kwa rhymez zake kali
Kweli Smokey jemedari!
Thanks sana kwa kufungua kiswahili battles.........
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












