Nani anataka kipaji kikuwe aje
#81 Guest_HESHIMU KINA CHA MASHAIRI_*
Posted 22 September 2003 - 09:31 AM
HE.KI.MA
#82 Guest_Knoka_*
Posted 22 September 2003 - 09:45 AM
Knoka
#83 Guest_Knife butcher_*
Posted 22 September 2003 - 02:35 PM
Chati yako inashuka sijui nani wa kumlaumu
Kila ukipanua mdomo k-bucha nakunywesha sumu
Nakuja kama sisimizi huwezi niona bila zoom
nakuattack bila huruma..ndio sasa natoa hukumu
muda wa kutengua viuno ndio umetimu
nawavuta makatuni kuelekea kuzimu
Nameza emcee yeyote anayentibua stimu
nalipua rymes.. madhara yake ka atomic bomu
Wababaishaji wanashake vichwa havipo kwenye form
wengi wao wanacheua pumba na fume
wananiota kwenye nightmare nikiwatesa kiroho ngumu
kama ffu namtuliza yeyote mwenye kuleta fyongo
Huwezi piku langu jokeri hata uongeze usongo
Katika rapu game...we nakona ka chongo
Weka beef....bado ntaroga wako ubongo
siachi chafua cypher..nichukie mpaka utapike nyongo
Sababu kila nikichana nakutoa matongo tongo
Ukija kama mlevi nakusukuma kwenye korongo
#84 Guest_HE.KI.MA_*
Posted 22 September 2003 - 04:11 PM
KAMA WEWE KNOKA PIA UNATAKA KUPASULIWA...OMBA FOMU UUNGE MSULULU WODI BADO IKOWAZI!!! ANYTIME/ANYONE!!!
HESHIMU KINA CHA MASHAIRI
#85 Guest_xplo aka toto la mitaani_*
Posted 22 September 2003 - 11:41 PM
kila nikiamka denda limejaa kwenye hii keyboard/
angalia hii mistari alafu jifunze kuzipanga hizi alphabeti/
hakuna mwingine bali EXPLO anatamba kwenye internet/
usilete kibesi ntakupa uppercut /lowercut unipe kesi/
pumzi yako fupi huwezi kujipima na mimi ntakutoa kinyesi/
ntakurarua nikuache umefleti alafu niulize whos next/
sichezi gonga gonga ndinga nalibutua kama fullbeki/
ntakubetua juu kwa juu nile zote alafu nikulambe kipepsi/
mitaani naeleweka vina vyangu vimezagaa everywhere kama noti feki/
hizi ni risasi za kuua tembo haisaidii hata ukivaa bulletproof vest/
kwenye miondoko nimebobea hii mistari nyeti never underestimet/
wengi kama wewe nimewaelimisha wametulia tuli kitako wameketi/
siitaji ku waste my bullets ntakukatakata na masheti[/b]/
biatchhhhhhhhh[/i]
#86 Guest_knife butcher_*
Posted 23 September 2003 - 10:48 AM
#87 Guest_knife butcher_*
Posted 23 September 2003 - 11:15 AM
Nakulipua wewe pamoja na zako fataki
mistari kichwani imejaa kama laki
mpaka mingine sijui wapi nitaipaki
Kaa chonjo jibaba nakuja bila breki
kwa usalama wako niache nikuovateki
Kama hiphop ina cheti..basi chako ni feki
Nikikamata kipaza hata wakongwe wanashake
Rymes zangu zimejaa ustadi kwa jinsi navyozimake
Ukibattle na mimi nakutafuna kama kipande cha keki
Tactics za maneno navyozipanga.. hebu nicheki
Piga mashuti kama fullbeki..mi ntakubutua na yangu madochi
Nakupiga kipigo cha mbwa mpaka unabaki ulimi nje
Unasevu kwenye hiphop unajiunga na wanjenje
.....................
#88 Guest_HEKIMA_*
Posted 23 September 2003 - 03:20 PM
NAWEWE KNOKA...KAMA UNATAKA BATTLE..BATTLE!!! HATUTAKI MAKOCHA HUMU!!
RESPECT THE BATTLE
#89 Guest_HEKIMA_*
Posted 23 September 2003 - 03:55 PM
hizi ni risasi za kuua tembo haisaidii hata ukivaa bulletproof vest/
#90 Guest_knife butcher_*
Posted 23 September 2003 - 09:32 PM
#91 Guest_HEKIMA_*
Posted 24 September 2003 - 09:42 AM
SIMPLY NINACHOSEMA NI KWAMBA...KAMA MA-MC WANATAKA BATTLE LAZIMA WAACHIWE UKUMBI,HIYO NINAUHAKIKA VICHWA VYOTE VINAKUBALI.MIMI NA WEWE TULIPO-BATTLE,WATU HAWAKUINGIZA PUA ZAO KWENYE ULINGO-WALITOA 'COMMENT'-WHICH IS RIGHT!! HII SIO TAG TEAM WRESTLING' NI HIPHOP...WACHA VICHWA VI-BATTLE,MWISHO TOA MAONI WAKO...WEWE UNAONYESHA DHAIRI KUWA UNA-TAKE SIDE,WHICH AINT RIGHT!! SISI WOTE NI VICHWA,HAINA HAJA YA KUANZA KUMBAGUA MMOJA NO MATTER WOT!!
NB: NADHANI UMENIPATA!
PA1
#92 Guest_Knoka_*
Posted 24 September 2003 - 07:38 PM
x-plo unanitwika "flat" mchupa unatagemea nita yumba yumba?/
Hii spoti isha kumbwa zungusha hizo baru- zako kifuru-funga/
Butua tu magoli ntakudunga hii si netbo ukarusha rusha/
Kwanza futa chagua yeyote lugha zote naumuka kaa unga bila teja.. chunga/
Hii kamati uhakika hupati kura haya zusha utabakia nukta/
Hivyo pumpaa tu nta-vuta vuta mashaki pande hii mputa kuja/
Ukapata ufahamu mi si mshahiri mpya haya kanusha utakuja juta/
Lini baru- hizo utapata lipua tupate jua maana twachoka kujikuna kuna/
Usishangae mibao nakukung'uta na fyekeo nazirusha kisupa/
Ukiangua utashanga ni kansumba ghani hii jikuta huna bukta/
Hivyo kama mzee mwenye busha ukinipigia uluzi ntazusha/
Mi bwana masanja kutwa kuchwa ni mchanja mbuga/
X-plosives wanizuga bana na stori ndefu kaa Ikarius Kumba Kumba.
Ese e um bandido grande. nom mpodesh tentar falar comigo nese jogu de palavraz. Bado amebakia Hekima wacha hasira na watu anza na mkongwe hapa basi.
Knoka
#93 Guest_Knoka_*
Posted 24 September 2003 - 07:50 PM
utashanga=utashangaa
#94 Guest_HEKIMA_*
Posted 25 September 2003 - 01:43 PM
UMEOGOPA KUINGIA ULINGONI....AT FRIST-NOW U WANNA TALK!!
'UJE NA VIJIJI/KWA MUPUO NIKUFULIKE KA RUFIJI'
I CANT WAIT...
NB: EXPLOSIVE TUNAKUSUBIRI JIBABA!!...MALIZIA HII KAZI!
#95 Guest__*
Posted 26 September 2003 - 01:40 AM
#96 Guest_Knoka_*
Posted 26 September 2003 - 08:25 AM
Knoka
#97 Guest_Knife butcher_*
Posted 26 September 2003 - 09:57 AM
#98 Guest_Knoka_*
Posted 26 September 2003 - 10:47 AM
Knoka
#99 Guest_explo_*
Posted 26 September 2003 - 06:47 PM
all day navuta ganja nigger stimu zangu unanipeperushia/
kwenye miondoko we ni mrembo be real vua hio sidiria/
mavesi utosini yamepangana moja baada ya moja nakushindilia/
serebuka na hili kwanja au zubaa upigwe loba kisogoni tukupumulie/
na rhyme so good mpaka sometimes nataka kujibatle mwenyewe/
haya ni mabazuka yatakupa kiwewe yatakupandisha mzuka we njuka/
ka panya buku nauma uku na puliza tuliza hicho kiviringo we kichabingo/
vesi zako nyepesi sikuoni kukujibu na type kwa mkono mmoja wa kushoto/
bugia huu uboo mong"onya ka umemeza msosi wamoto we mtoto woohh/
hiphop tuachie magangsters kata kiuno kacheze taarabu au bolingo/
#100 Guest_Knoka_*
Posted 27 September 2003 - 07:21 AM
Kama mibao ushanyukwa rupu lilo baki kujaa mipacha/
Nazagaa mraba wa eiffel tower mnara hutotikiswa uu kimnyapara/
Ni zako kunguni kujidai kachawa binjuka wangu hili tanda hujigamba/
Jibaba artist katika fani mfinyanzi.. kinyago wazi eye-line ebo lemba/
Ufanane nyani fanani zangu ni ngangari jitie kidomo chelechele ungali nakupepeta/
Tangu kulizwa kipenga umenijia dizaini kimeta/
Kilemba juu.. gangsta? Kidawa angalia utapewa?/
Anti Moodi hii wazi hapo nyuma unakipaji usijali wapo watao-upenyeza/
Changudoa bobea tu mlingoti hautobonyea koo ukilegeza ujikuta unamezea/
Kiboya-boya nimefloti juu ya Viktoria bila tone moja kunilowesha/
Miye siyo gansta rapa kama Toni Montana lakini utashangaa nakuchana-tana panapo-upara/
Mpaka Texas na huu wa tisa lugha bado inaringa ki-wanja/
We leta ngonjera namalizia kiganja umeotea kilianza kwa Bwana Masanja.
Nilikuonya Knoka nyoka na mbaya zaidi lakini.......mmmmhhh.
Knoka
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












