Jump to content


utatoboa mchafuaji aka sijui knifebutcher ama kitu ka hiyo..


3 replies to this topic

#1 smokey

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 5 posts

Posted 27 April 2006 - 12:01 PM

ati mchafuaji hujui unamess na wauaji
wathii wanakunywa damu badala ya maji
ndo tucompensate machozi mnalia
ukiwa kushoto vunja kulia
shoof jeshi imara imetulia
kuishi na manyoka natema tu sumu
kijemedari kama mr 2 aka sugu
asisimame kama bubu
piga magoti tubu
si bila shaka wajua ni smokey na hichi kifungu

#2 Knifebutcher

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 112 posts
  • LocationSouth Africa

Posted 18 May 2006 - 09:28 AM

usinletee utani we kinda .. am da most feared assasin :evil:


nashusha dibaji nafanya mauaji
sifosi hiki ni kipaji testi zari usombwe na maji
kichwani mizuka ndo ishanipanda..
naleta vita vya propaganda..
shoto kulia naongoza gwaride kama kamanda
mashairi kona zote nimezitanda..
emcii jifanye mwerevu kama ujavishwa sanda
vina maksi banda.. kwenye cypher naranda randa
mjeshi kamili ndani ya gwanda..
kabla ya batto tafuta wa kukukanda..
maana hizi punchez zinaharibu kila ukanda
bucha ndo jina langu..na hiphop ndo maisha yangu
bora upunguze spidi usije wangu wangu
maana breki zikigoma utakufa kibangu bangu
nashuka vernomz za kinabii..
wananiita lyrical masii..
nakuja kuokoa hiphop mida hii..

#3 mkurdi-mweusi

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 34 posts
  • Locationarusha

Posted 30 May 2006 - 08:09 PM

baniani.

#4 jimm1909

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 1 posts

Posted 17 November 2010 - 10:20 PM

Knifebutcher said:

usinletee utani we kinda .. am da most feared assasin :evil:


nashusha dibaji nafanya mauaji
sifosi hiki ni kipaji testi zari usombwe na maji
kichwani mizuka ndo ishanipanda..
naleta vita vya propaganda..
shoto kulia naongoza gwaride kama kamanda
mashairi kona zote nimezitanda.. Cirque du Soleil KA Las Vegas Shows Things to do in Las Vegas
emcii jifanye mwerevu kama ujavishwa sanda
vina maksi banda.. kwenye cypher naranda randa
mjeshi kamili ndani ya gwanda..
kabla ya batto tafuta wa kukukanda..
maana hizi punchez zinaharibu kila ukanda
bucha ndo jina langu..na hiphop ndo maisha yangu
bora upunguze spidi usije wangu wangu
maana breki zikigoma utakufa kibangu bangu
nashuka vernomz za kinabii..
wananiita lyrical masii..
nakuja kuokoa hiphop mida hii..

asante!

-Jim





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users