ANY KENYA MC WANNA BATTLE IN SWAHILI???
#1 Guest_HE.KI.MA_*
Posted 19 July 2003 - 11:11 AM
PA1
#2 Guest_HEKIMA_*
Posted 21 July 2003 - 09:46 AM
PA1
#3 Guest_HEKIMA_*
Posted 24 July 2003 - 11:40 AM
#4 Guest__*
Posted 24 July 2003 - 10:40 PM
#5 Guest__*
Posted 24 July 2003 - 11:57 PM
HEKIMA said:
PA1
#6 Guest_HEKIMA_*
Posted 25 July 2003 - 12:22 PM
Sijui nikuchane vipi,lakini poa nitaanza hivi
leo sina vesi hivyo nitakupa nyepesi,
kijana usije resi,usije ukanipa kesi
maana ka vimondo,naacha mashimo kwenye ubongo
ukija kinyumenyume Mkenya unavunjwa mgongo
chungulia uwezo wangu nikutoe chongo
hutohimili kipigo,utatoa hongo...vina ni mkorogo wa kitu,tambuu na gongo
ujumbe ni mchungu,kuzimua utaomba nyongo du! sio uongo..
NB: Siandiki sana,Jibu kwanza nipime uzito wako..(kisha shughuli ianze rasmi)..Giv it ya best dawg..it aint safe...
PA1
#7 Guest_hekima_*
Posted 25 July 2003 - 12:25 PM
PA1
#8 Guest_makaveli the boy_*
Posted 25 July 2003 - 01:08 PM
mnao lala halafu mdrink maziwa mala
ARE YOU FEELING ME SUKAS
yeah BAD BOY KILLAZ
#9 Guest__*
Posted 25 July 2003 - 01:09 PM
#10 Guest_makaveli the boy_*
Posted 25 July 2003 - 01:11 PM
#11 Guest_HEKIMA_*
Posted 25 July 2003 - 01:15 PM
NAWAONA MNAKUJA UTITIRI....ANDIKENI VESI SHUGHULI IANZE,SIO MNAJICHEKESHACHEKESHA MAKINDA NYINYI...
NI MIMI HEKIMA
BABA YENU!
#12 Guest_Nimimi_*
Posted 26 July 2003 - 08:17 AM
Ni kijana au mkongwe katuita mashindano?
Bongo boy kashindwa na ubao tayari tushakudharau
Si juzi tuu ulikua manamba Kariokor,
Na sasa juu ushapanda Akamba hadi Nairobi unajidai jogoo?
Usione miti mjini ukadhani shambani,
chunga usije ukachoma ubani takatakani,
Hapa mtaani
kijana hakuna amani,
Kama karau mwenyewe hakusikii,
nani atakuachia uchafue M.I.C pale South C?
Unachoita fani mimi kwangu maisha,
Dhibitisha wewe sio bubu,
tukutane Jumapili F.2,
Utajua NIMIMI utakapojikuta na pumbu tuu.
#13 Guest_Nimimi_*
Posted 26 July 2003 - 08:21 AM
No battles, just plain an' simple war.
Where's this Hekima pup at?
#14 Guest_Nimimi_*
Posted 26 July 2003 - 08:27 AM
Jiulize tena, je utafika?
Nitakumaliza kabla hujaanza.
Bongo bitch.
#15 Guest_makaveli the boy_*
Posted 26 July 2003 - 12:08 PM
sUCK MY ...... Between my leg and Back
YOU BITCH YOU AINT GRAVE ENOUGH
#16 Guest__*
Posted 26 July 2003 - 12:10 PM
HE.KI.MA said:
PA1
#17 Guest_HEKIMA_*
Posted 26 July 2003 - 02:12 PM
HEKIMA
#18 Guest_Nimimi_*
Posted 27 July 2003 - 08:42 AM
#19 Guest__*
Posted 27 July 2003 - 08:45 AM
#20 Guest_HEKIMA_*
Posted 28 July 2003 - 02:06 PM
Oya we Masakuu!! Nina kishindo ka la Mkuu
sa jifanye hausikii-kiziwi nikuvunje Guu
huo moto utazima ghafla bin Vuu,nikatuacha kichwa chini-miguu juu
nyuma-mbele-mbele-nyuma kama Juzuu
ka fani kwako maisha,umekutana na Israeli-sasa yanaisha
angalia vizuri ndhani umenifananisha…
Mkenya utahenya,ni tundu la sindano hili battle sijui ka utapenya
Nakupa masumbwi,we pumbaf! unanitekenya
Kwako situmii nguvu,ila nitakuchomoa nje ya huo mwili nikuvunje fuvu
nitakubakiza macho tu ushuhudie muvu!
umekauka vina mithili ya kiangazi Ruvu,njoo nikupe shule..
kama Alcapaino upeo ninagawa bure,haya nawa mikono hivi vina vya moto ule,vikikuunguza taratibu ukateme mule…
kwanza sijui kama pumbaf! unanielewa,maana Kiswahili chako ni ka Mbongo aliyelewa na hapohapo kama Chewa!!nitakuacha taabani,shingo juu-unasaka hewa..na hicho kijiwe chako sijui South C,cheza na Hekima kitakuwa South Jii!
NB:NYI MAKINDA WOTE!!
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












