WAZO LA LEO...
#1 Guest_HEKIMA_*
Posted 10 June 2003 - 12:20 PM
Mnaonaje tuanzishe mtindo mpya wa ku-battle,yaani kwa kifupi,
Watu wanatoa Topic, halaf Ma-MC wawili wana-battle! juu ya hiyo topic,wanaonyesha ubunifu wao katika ku-approach Topic yeyote ....halaf baada ya vesi kadhaa watu wanatoa maoni,kura whatever-kama invyokuwa.
HILI NI WAZO TU!!
KAMA WASHKAJI MNASAPOTI POA!! TUSIKIE MAONI YENU...
HEKIMA
#2 Guest_HEKIMA_*
Posted 10 June 2003 - 12:22 PM
#3 Guest_ILLA_*
Posted 11 June 2003 - 07:24 AM
#4 Guest_tregman_*
Posted 11 June 2003 - 09:38 AM
kwa hiyo mimi mwenyewe ni mc na ningependa kushiriki kwenye battle ingawa sielewi maana halisi ya neno hilo.
#5 Guest_HEKIMA_*
Posted 12 June 2003 - 09:44 AM
Mimi kwa kuwa ndio niliyetoa wazo,hivyo poa mimi nitatoa Topic the 1st battle!! Kazi kwenu Ma-MC,Topic ni hivi....
Ni kwamba,Ma -Mc mnahitaji kuandika,kuelezea vitu au mawazo Unayowaza Ukiwa-stimu(iwe stimu za pombe,kitu,tambuu-poa)kama huwa unawaza vina,maisha,hiphop or whatever!!
Kumbuka kuwa Point ni kupima jinsi gani Ma-Mc wako kina,hivyo unauwezo wa kujimaliza(knah-mean!)Njoo na mtindo wowote, lakini naomba nisistize 'Vina' maana kuna washkaji wanaandika kama insha!
Kama unauwezo wa kucheza na mashairi yako,ukamchana unaye-battle naye lakini kwa kupitia Topic mliyopewa,utapewa Bonus!!(hii sio lazima).
NB: hiyo Topic hapo might seem,I dont know what to say! to some MCz,lakini kama we kichwa-hiyo Topic mtu unaweza kuonyesha Ubunifu wa kutisha!!
Pendekezo:
Ningeomba MC yeyote, anayetaka kubattle na ILLA juu ya hiyo Topic!
Oya ILLA,tunasubiri vesi yako!
HEKIMA
ONE-LOVE
#6 Guest__*
Posted 12 June 2003 - 10:04 AM
Kama mnatahitaji mfano, Holla!, kama sio-UKUMBI UMEANDALIWA....
HEKIMA
#7 Guest_HEKIMA_*
Posted 12 June 2003 - 10:16 AM
#8 Guest_{O__-}_*
Posted 13 June 2003 - 07:54 AM
NATUMIA NAFASI HII KUWEKA WAZI UPEO WANGU,,
NIKITIA TIMU SIONI MC STEGINI PIA YUKO MBALI NA KEYBOARD,,
KAMA UKUBALI SIONI UKIBISHA NA WALA SIONI ROYA,,
HII NI "ONYO" TOFAUTI NA LA H.I.V,,
NIKIINGIA VITANI SIONI MPINZANI BALI NAKATA MBUNGA,,
MI KAMA MWANA-JESHI CHINI NINA "TIMBALAND",,
JARIBU KUKATIZA UHAMUSHE MILUPUKO UACHE VUMBI,,
WANAO KUFA KISANI SIONI KAZI KUPAKA RANGI MAKABULI,,
MI KAMA MC SIONI HAYA KUSEMA NITAKALO............................
(JUST PASSIN BY YA`LL PEACE I AM OUT) :arrow:
#9 Guest_HEKIMA_*
Posted 13 June 2003 - 12:20 PM
NB: OYA-VICHWA!! BADO TUNASUBIRI MTU ATEME...(TOPIC IPO JUU)!
HEKIMA
#10 Guest_(-_-)_*
Posted 13 June 2003 - 04:47 PM
sawa b
#11 Guest_HE.KI.MA_*
Posted 17 June 2003 - 11:01 AM
#12
Posted 17 June 2003 - 03:38 PM
NAPOKUWA TUNGI,MWENZENU NAMWAGA NGELI
SILI MIRUNGI,NAWALA SIVUTI BANGI
MWENDO NI VIPEGI
NA SINA UBAGUZI WA RANGI
NAPOKUWA BAR,NAZUNGUSHA TU ROUND
TINYWE MPAKA TIFE,NI DOLLARS NAPOUND
NAPOKUWA TUNGI,NYEGE ZANGU NI MADEMU
CHICHA LIKIKOLEA,NASOGEA KWENYE GAME
NAKAMATA STICK,MWENDO NI POOLTABLE
KAMA HIYO HAITOSHI
KONYAGI PEMBENI AVAILABLE
NACHEZA SLOTS NACHEZA NA KAMARI
MWENDO WA BIA,CHAKULA SINA HABARI
POMBE NDO INANIPA UFAHARI
NAPATA MARAFIKI
NAPANDA STAFF KWENYE MAGARI
SOMETIME NATAPIKA,
SOMETIME NAPATA HATARI
#13 Guest_foresight_*
Posted 20 June 2003 - 06:53 AM
"wise men talk because they have something to say,fools,because they have to say something"
#14 Guest_HEKIMA_*
Posted 02 July 2003 - 01:23 PM
PIA NI ALRIGHT-HAINA NOMA, FOR THE LUV OF IT...
HII ISHU NAANZA RASMI KESHO,NAONA WATU HAMTAKI KUUMIZA VICHWA,BASI POA NYIE SOMENI TU....
HESHIMU KINA CHA MASHAIRI
HE.KI.MA
NB: ONE LUV VICHWA VYANGU!
#15 Guest_HEKIMA_*
Posted 03 July 2003 - 02:24 PM
natoka nje ya mwenyewe niweze jiona toka mbali
yaani kama jua linavyo-onekana kwa sayari,nawasha kibatari
ndani ya mapango ya upeo natafakari,natasua hali..
natoka dhoruba kwenda tuli mpaka shwari,nasaka hisia za kuandikia hii mistari ni ka rupia,kina nawachimbulia,migodi ya fikra yaani uwezo wa kufikiria ni Hekima,busara zinaitikia,nang’ara kama nuru Mc nyota wafifia
mithili ya jua jioni usiku unapoingia-natanda manani-mbaramwezi naifyonza ndani,nawaacha gizani ni ka-kiama kwenye fani..nje ya uwezo wao ma-MC hawaoni ndani
naandikia vichwa,wenye matango juu ya shingo hawapati picha
wanabaki pinga japo hawajui wanachobisha,nawapanikisha-mistari YATISHIA insha..hakuna mikato(,)nukta pia zinapisha-tungo zikifika mwisho tena naanzisha…(hii ni kwa Vichwa)
NB:Kwa vichwa!
#16
Posted 08 July 2003 - 01:39 PM
yanini mayowe,wacha watu wakujaji
umekubali mwenyewe,kuwa ni moto wa kibatari
utamulikaje nje,wakati kuna hatari
kuna mvua,kuna upepo, tena wabahari
sikatai una vina,je kama havina maana
basi unataka jina,na mademu kuwabana
ni sawa na mapenzi,mchezoni bila ya zana
upo wapi mgodi wako wa fikra usio na dira
kwa kuenda kavukavu,na kuzarau mpira
ni sawa na kula andazi,lisilo na amira
inaonyesha mshikaji,kichwani umeisha
kwa ufupi nakupinga,na naelewa nachobisha
[/b]
#17 Guest__*
Posted 08 July 2003 - 06:33 PM
#18 Guest__*
Posted 10 July 2003 - 10:35 AM
hata miaka ikipita,lazima nisonge mbele
Naona wamejificha,wakati walikuwa tele
wanajiita mateacher,nakucheza kama pele
wanaficha makucha,jina langu likitokea
wanafunga mabucha,mbiombio na kupotea
Nasema sio dawa
napenda hilo mfahamu
nikiwa africanhiphop
na click kwenye forum
nachagua topic,na naenda battle rhyme
hapo utanikuta
kama nge mwanaharamu
ila usije pupa
haswa kama unifahamu
#19 Guest_HEKIMA_*
Posted 11 July 2003 - 10:34 AM
Hizo sera za maandazi na amira ni za ‘mamalishe’/
Umesahau mafuta-pumbaf! ukamilishe/hiyo mistari ya ngonjera haina maana/mambo ya mipra ya ngono wapelekee ‘Salama’/nadhani watakuona kichwa pumbaf-watakupa flana/sikiliza we mtwana…
Siitaji jina,wananifahamu ka HE.KI.MA/siishiwi mistari,lugha yangu ya taifa ‘Vina’/ambayo kwako ni kichina/uko ‘dede’ chalii hujasimama wima
unataka battle na mimi kwanza ukasake Bima/na tena ufanye hima…
na wewe guest-sijui ‘Nice one Bro’,kwa kunyonya Mboo-unakojolewa ndani koo acha jina au la! funga hicho choo…
NB: Poa Nge,Sina Muda ningekuchana zaidi mdudu we!Hata hivyo jibu nikuchane tena(vizuri)!
#20
Posted 11 July 2003 - 03:31 PM
nakuhurumia wewe,unayepiga kwenzi sanamu
unang'ata na kupuliza,eti huna time
basi hapa umefika,kwa nge mwanaharamu
Nikiyapanda maneno,mimi kama mkulima
watu wawe mbegu,ukweli ndo udongo
na kukuwa kama mti uliopandwa kwenye angle
kama sayari kweye orbit,nitakufa niki struggle
ama za NGE ama HEKIMA
Unamcheka nyani wakati we kima
unatuachia magepu,ukijifanya umepinda
wakati kwenye game,unaonekana kinda
Huku nakuburuza,nakuungisha na tela
nikikosa beats,nakwenda na Accapela
sambamba na makofi,wakiyapiga masela
alcapaino na Hisabati,HEKIMA hauna sera
nataka kuwaonyesha watu battle sio lazima matusi
wake up! HEKIMA naona bado umelala!
(good)!
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users













