Jump to content


Msijaribu kulifunika jua kwa ungo


  • You cannot reply to this topic
No replies to this topic

#1 Adil

    Member

  • Members
  • PipPip
  • 10 posts
  • LocationDar es Salaam

Posted 24 November 2005 - 07:06 AM

nalia lakini machozi hayatoki,
haa!! kumbe hata sauti nayo haitoki,
kazi ninayofanya ina wengi manafiki,
wengi ni marafiki lakini hawabebeki,
nikitaka kutoa track wao wananibom wakapate the kick,
wabishi hawaambiliki,
ni wengi hawahesabiki,
wanakuja kitofauti mara pombe mishikak,
wanajifanya wana care wakiniona nina laki,
hata siku hawaugui wakiugua dawa hawataki,
HAMWEZI KUFUNIKA JUA KWA UNGO





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users