Jump to content


MUMEOGOPA HUH!


1 reply to this topic

#1 Guest_SELF_*

  • Guests

Posted 13 May 2003 - 03:25 PM

Vipi, what happenned to you mc,es. ?
munajiita gangstas and hevy dees
Self is is laying kow na bado mumeogopa
Nasikia one of you anajiita bunduki, where are your guns big popa
haha! wanawake ninyi haha!! :evil:

#2 Guest_HEKIMA_*

  • Guests

Posted 13 May 2003 - 04:39 PM

HAKUNA ANAYEKUOGOPA-KINDA WEWE,KA UNATAKA VITA-POA.NITAWACHANA WOTE WAWILI...WE NA YULE MWENYE JINA KAMA AINA YA KAHAWA(NANI TENA??.....ANYWAY)..

YUKO MAHUTUTI/ALIONYWA KUHUSU MIKUKI-SASA WEWE NITAKUMALIZA KWA BUNDUKI-KANGAF....KAMA WATU HAWAKUJIBU,WAKO BIZE NA MAMBO YAO YA MUHIMU...

HE.KI.MA
(Heshima Kitu Maadili)





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users