Jump to content


ADILI NA WENZAKO ACHA KUIBA JINA LA WASHIKAJI "Wachapak


7 replies to this topic

#1 Mchapakazi

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 213 posts
  • LocationDeventer, Holland

Posted 23 September 2005 - 03:00 PM

Adili ambiwe aache kubit jina la washikaji "Wachapakazi" ushamba sio mwanahip hop jamaa wapo na wana track tatu so far huko bongo aache ujinga nipeni number yake nimpe vidonge vyake.
Peace outta
E-Attack
+31633694490
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave

#2 MBATIZAJI

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 1 posts
  • LocationTZZZZZDDD!!!

Posted 24 October 2005 - 04:25 PM

Oyaa mtani,jina kwani kitu gani mtani,kinachomatter kazi tu,ili mradi tuikubali kazi ya washkaji,me nadhani hiyo ni kitu ya kawaida kwa majina kuingiliana,cha msingi nani atalitambulisha na liote mizizi.
aminiaaaaaa...!!!!
MBATIZAJI

#3 Adil

    Member

  • Members
  • PipPip
  • 10 posts
  • LocationDar es Salaam

Posted 23 November 2005 - 07:38 AM

jina kitu gani, kwani jina la nani,
jina ni la nchi gani, jina maana yake nini,
jina limekupatia nini, limeonyesha nini,
jina limefanya nini,mbona imekuwa inshu fulani,
komaa fanya mambo fulani,
miundo mbinu yako ndio itakayo kuweka hewani,
mbona na mimi ni Adil, na yeye ni Adil,
jilani yangu fanya mambo ya kweli,
kwani wote wahangaika tuko safari,
wengine kwa miguu wengine kwa gari,
wengine kwa ndege wengine kwa meli,
lakini zote safari bora kheli,
Thug'z uwa hatuongei mara mbili,
ingawa thamani yetu ni ya kandambili,
God anabless na deile tunanawili,
HAMWEZI KUFUNIKA JUA KWA UNGO

#4 headshigh

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 1 posts
  • LocationCopenhagen

Posted 16 April 2006 - 08:12 PM

Sometimes ina matter kutumia jina ya mwenzako hasa kama, mosi, unalijua jina lipo, na pili, kama unafahamu fika hilo jina lipo katika mji wako unapotoka, yaani hometown....sijui itakuwaje mtu akaibuka sasahivi na kujiita Professor J, au mchizi mox, tofauti na wale tunaowafahamu tutamwonaje au yeye professor J atajisikiaje.... Hip-hop inahusu ubunifu, uwezo wa kuunda kitu tofauti na wengine, wazungu wanaita creativity, kama ubunifu ni kushindwa kuwa hata na jina lako tena la kisanii la kujibatiza, hata mashairi tutakua na wasiwasi unatoa ama kwenye vitabu au unachukua ya washkaji....bila ruhusa yao.... :lol:

#5 Mchapakazi

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 213 posts
  • LocationDeventer, Holland

Posted 01 May 2006 - 03:30 PM

mbona ujiiti sean Paul au 50 cent sikubalii hiyo acheni ujinga kila mtu naitaji identity yake well kaka yenu anakuja hapa nitamueleza.
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave

#6 Bantu

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 4 posts

Posted 23 November 2006 - 08:55 AM

Adil nijibu kama unanielewa!
"Jiz si jizi dakizi
dizain jizi kataliuga,
daluga dagada nabwaga,
dege, degedege...
O-Mob
Bantu nini!

#7 quertzal

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 49 posts
  • Locationkimara maskani

Posted 19 June 2007 - 11:29 AM

Dogo wenzio huwa wana bit rhyme, na c majna hata kidogo ilo ufaham/
naona umecheza fyongo bila kuwa consult wataalam,kimbelembele utapigwa nyundo ya kichwa next tyme/:evil: unajaribu kupambana na chuma wakati ww ni udongo/ :lol:
kudadadeki umemchokoza mbogo, jangwani na moto wake c wa kitoto, mchimba chumvi wa gongolamboto/
nakuhifadhi kwa heshima ya Jay,na wala c mengine okay,najua bado dogo n u gotta long way 2 go,nway!!
kuwa makini njiani kuna nyangumi ilo baini,ww bado dagaa huna thamani hata ya kuwekwa rehani/ :o
najua na ninafaham kwamba waitaji kukua/na unatafuta njia za kupita tuweze kukutambua/
hata kama ni za panya u don care ilo 2nalitambua/lakini husije pima kifua pale penye mijivifua/
tutakukamua hataikibidi kukunyonya pua/ :evil:
"Guys don pretend keep it real so dat kids can learn n grow from us"

Quertzal a.k.a lyrical blower

#8 Mchapakazi

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 213 posts
  • LocationDeventer, Holland

Posted 23 June 2007 - 01:15 PM

Wezi wa majina mpaka mashairi/
and that's why sio mahiri/
daily uswahili/ plus ujangili/
Watch ya ass sun sio deal/
mtoto wa shule ya upili/
na kitu ndefu kama mlima wa kili/
na ukiacha wazi sili/
maana ina uchungu kama pilipili/
sio siri/
majina mnaaiba bado kama wale wezi wa kiraka/
inacoz wenzenu kula chaka/
sasa faida gani mnapata/
kazi bado game bado/ mnajifanya maambasado/
kuna watu wako gado/ kama Rado/

weeeeeweee ni mwiziiii wa kazii zaaaa waatuuuuuuuu!!!!!! na idea za watuuu then u call ya self a rapper!!!!!!!!
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users