Jump to content


SITA WALISHA SUMU NIPATE KUWAHUKUMU


9 replies to this topic

#1 quertzal

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 49 posts
  • Locationkimara maskani

Posted 18 March 2005 - 01:55 PM

Nani anataka kutamba,kila kona mimi nimetanda,BULL nimekata kamba nyoyo zenu sasa za dunda,andaa vilivyo nona hii sodoma hakuna kupona, mizani vina imeshona midosho wanakula kona, hakuna awezaye panda hii merikebu iliyojaa vichwa vyenye thawabu,yenye thamani zidi ya almasi viliyomfanya bubu kukosa adabu,proffessor kapandisha mzimu,kichaa nikapewa rungu,na mwendo wa taratibu kusaka noti nakosa aibu,nina swali siitaji jibu yenu tafakari imekosa elimu, mchana kutwa mwakuna vichwa,quertzal nawakilisha real hiphop pasua vichwaaaaaa!!!!!!!!!!!!


lyrical madness!!!
Quertzal
"Guys don pretend keep it real so dat kids can learn n grow from us"

Quertzal a.k.a lyrical blower

#2 nge

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 42 posts
  • LocationK.I.M.A.R.A

Posted 29 March 2005 - 07:20 AM

wanaogopa kuhukumiwa, ndo maana wanakimbia
hawaitaji kuparamiwa,wanaogopa hata bia
quertzal ndo ameingia, mwenye nyege ndo analiwa
mwanajeshi anakufa,yaani mwanajeshi anazaliwa
tumekuja kuziba ufa,na zawadi zinawadia
hamstahili hata kufa,ili mpate kuhukumiwa
.............................................................
.............................................................
Thank you God, I appreciate every blessin
I learned a lot in this world
Got a profession that keeps me stressin
Facin criticism,
And you still keep me happy and healthy
Nyuma naona mbali
bora mbele kuelekea.

#3 Mchapakazi

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 213 posts
  • LocationDeventer, Holland

Posted 25 April 2005 - 10:29 AM

Vinapo unganika vichwa vinatoa gharika/
hommiez wakiwa online sitoacha kuback up najua tutafika/
na kuacha vinabo wakitaabika/
ninayo nena hapa shika/ ila maneno ya ajabu hapana anika/
hata kama uko chumba cha sindano cha mika/*
kimara daily tunawajibika/
world wide recognision vina bado tunashika/
tumekuja kuwashika na msosi wetu lazima mtapika/*
yule kanialika huyu anatapika/
sijui kama vyakula leo vitalika/
mashairi kama kwenye vita/ vina hakika vinalipa/
wachovu bado tu wanataabika/
na kupigwa na baridi kali kama Enika/*
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave

#4 skywalker

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 35 posts
  • LocationFrom the hood

Posted 28 April 2005 - 03:20 AM

Nani ataabike pengine mambwisi kama wewe/
Wasiojua kurap washamba na vidokozi kama mwewe/
Safari hii kwa nguvu za atomic bomb sharti uchomolewe/
kwenye website hii, mi si kama mkurdi mweusi kijinga nichezewe/
Kimara side recognation ndo utuzuge worldwide/
mi mwenyewe sikujui au tuseme mdomo umeslide/
acha ku :shock: wajanja wataku :lol:
Sipendi ukaduwaa nakisha u:cry:

#5 Mchapakazi

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 213 posts
  • LocationDeventer, Holland

Posted 28 April 2005 - 08:35 AM

Am worldwide punk, and make all chicks crunch/
studio moja Makoma, Akon, Raz, hapa kila goti...kama church/*
najua vina huna, upele unajikuna,ukileta kichwa mi natafuna/
hakuna suna/ hapa tunajituma kama dick inaposugua k***/*
nini unataka huduma au upashkuna/
maana kama unawashwa ntakukuna/
kuwa strong kama F Mbuna/ acha umayayi kama Moshi Haruna/*
changa changa uje waje kukupuna/
representing ma hood straight from viwanja conner ya lunner/
majigambo hakuna/ mapepe hakuna/
vina na kazi mpaka wazembe wenzako wanaguna/*
tunawakilisha kote toka Holland, Kimara mpaka Kaduna/
if u don know what I mean ask kiduma/
usichokoze Son najeruhi kuliko Duma/
na recognition kuliko Puma/
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave

#6 vinama'na

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 159 posts
  • LocationNyanDa Za JuU KuSini -Green CitY

Posted 05 January 2006 - 04:07 PM

hizi mbelengwe,mwache usenge,ka'vicheche wa mwenge'
nawapitia denge,mtoke nunge,choka taya sio mbaya,
nawafua kama daya'mnachachawa ,mistali ya kwaya
hak'na aliyegwaya'nawaondoa ka'chuya.[/b]
ZAO LA MTAA
T.M.K akademy-non shobo squad

#7 vinama'na

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 159 posts
  • LocationNyanDa Za JuU KuSini -Green CitY

Posted 11 January 2006 - 12:04 PM

[NIKO FULL,NAKOOL,GAME NARULE,
ZOTE TOOL KWA FOOL(choka mbaya)
NIKO REAL TRUE TALK,
TOKA BLOCK,NAROCK,
SHOCK KWA MNAFIKI,ASIYEAFIKI,
MDOMONI MOYONI TIKI,
RHYME ZANGU ZINALEAK,NI KALI,
ANDIKA KWENYE LAKO DAFTARI,
HAMASA USIIMILIKI UKUBALI,
KUTULI KWENYE KITI,
UKIACHA ZIFLOWKWA CHART,
THROUGH UR HEART,
NI HIT MJINGA NAKUKAUNTA ATTACK,
DISASTER KWA MC WEAK,
HEAVY KWAKO KAFILI
NI KAMA GERRARD
WA LIVERPOOL,NI KI'KICK
UBAO HAUSOMEKI KA WAKATI WA
KUSTART,
DYNAMIC NAKUACHA STATICK
amaNON -SHOBO SOULDIER
choka mbaya nyie ni bongo fool-ever tu sawa,

0quote="Mchapakazi"]Vinapo unganika vichwa vinatoa gharika/
hommiez wakiwa online sitoacha kuback up najua tutafika/
na kuacha vinabo wakitaabika/
ninayo nena hapa shika/ ila maneno ya ajabu hapana anika/
hata kama uko chumba cha sindano cha mika/*
kimara daily tunawajibika/
world wide recognision vina bado tunashika/
tumekuja kuwashika na msosi wetu lazima mtapika/*
yule kanialika huyu anatapika/
sijui kama vyakula leo vitalika/
mashairi kama kwenye vita/ vina hakika vinalipa/
wachovu bado tu wanataabika/
na kupigwa na baridi kali kama Enika/*[/quote]
ZAO LA MTAA
T.M.K akademy-non shobo squad

#8 Bantu

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 4 posts

Posted 24 November 2006 - 05:43 AM

Bantu jina la mtambulika,
Yes, nafahamika, niite mpatashika,
Nini maana ya kicheko, mtaabika naugulia shida,
Achana na nguvu za giza, nasoma yasiyo andikika,
Naandika yasiyosomeka,
Nakamua tumbo la nchi, kutapisha elimu yaliyofichika,
Nimebeba akili za wengi, niite fuvu la wenye fikra,
Natembea kwenye contua za ubongo, kuziunganisha zilizofutika,
Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika,
Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika,
Kutwa kucha ndani ya ndita,
Damu iliyogeuka wino, kwenye karatasi naimimina,
Kwa kalamu naandika, mikono inavimba,
Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba,
Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika,
Kichefuchefu, nikitema mate, wengi wanayazunguka,
Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba,
Mi ndio Bantu Mpatashika,
Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika.[/b]

#9 LAST DYTE

    African Hip Hop Regular

  • Members
  • 242 posts
  • LocationSluMz oF HeLL

Posted 23 March 2007 - 11:49 AM

sitawalisha sumu ili nipate kuwahukumu..............
niwazima wanazuga humu AHH wanaugua pumu ?
hawabwengi wanazuga wanapenda stimu ?
afu ni_watoto wamama wanazuga wanamajukumu ?
hasira za mkizi kila kitu wanazuga wan'taka kufyumu ?
wajilaumu rhymes dry msizuge__ hii ndio yenu hukumu !!!
nyie mahabusu hata mkigoma mnazuga mie ndo hakimu !!!
hukumu natoa! mko huru afu eti mnazuga kifungo ndio muhimu ?????????

am out………….
Peace!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

I'm a weapon that fires/
Lyrical projectiles with no mercy/
I'm cold blooded like reptiles/
Touch a pregnant bitch and make her give birth to a dead child/___IMMORTAL TECHNIQUE:

#10 nge

    Advanced Member

  • Members
  • PipPipPip
  • 42 posts
  • LocationK.I.M.A.R.A

Posted 28 April 2007 - 03:42 PM

unaninyooshea kidole vitatu vinakutazama
kama inakuuma hukumu ki uhasama
ukiniona unanuna unatamani kuniua sana
utaki kunipa hey unabaki tu kuuchuna
pua yangu ilipo inaangalia chini
nipo tayari kufa ila sijui ni lini
Thank you God, I appreciate every blessin
I learned a lot in this world
Got a profession that keeps me stressin
Facin criticism,
And you still keep me happy and healthy
Nyuma naona mbali
bora mbele kuelekea.





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users