Jump to content


X PLOOO kajifunze UNYAGO ndo UJE KWANGU


  • You cannot reply to this topic
No replies to this topic

#1 Nukta

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 7 posts
  • Locationarusha Tz

Posted 16 February 2005 - 12:29 PM

we mtoto mdogo bishoo bishoo, unaye jiita x ploooo
usija ribu kumshika mwana ume uboo,
kisa umeona mashairi yake je, ungeona akiflooo,
maneno yangu mawili yanaweza kutoa chozi,
sababu mi nimwana apolo na wewe una niletea ubitozi,
una andika mashairi kama mtoto wa darasa la kwanza na kutemea kohozi,maana naona umeshindwa hiphop unaniletea mambo ya BOZIBOZI
ana tabia kama zasichana, usicheze naGAIDIkwani utaonekanaKIMWANA,
kwani nikama unacheza na hasidi,au mchezo wa kuinama,
naistoshe kuna baridi, na kidume niko unazani nta kutazama,
kwa hiyo ujue arusha ni sooo,nashika jina lako na wekaXinaficha plooo

FULUUUUUUUUUUUU BAAAAAAAAAAB

kisha nakuachia ujiCLICmwenyewe,yaani chagua ujiue au tafuta mume mwingine uolewe by OSAMA wa chimbo aka NUKTA
mimi nime ipenda kutokana ni njia ya kuweza kusaidia hiphop ya tanzania NA AFRICA.





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users