Jump to content


HIPHOP NI UKWELI MTUPU


2 replies to this topic

#1 uhuru

    Member

  • Members
  • PipPip
  • 27 posts
  • LocationArusha ,Tanzania

Posted 03 February 2005 - 03:20 PM

HIPHOP INAFUNDISHA NDIO MAANA SEHEMU NYINGINE INAKOSA AIR TIME SABABU IMEJAA UKWELI NA UWAZI WASANII WAWE HURU KUELEZA HISIA ZAO,PIA UBUNIFU UWE NI MKUBWA HASA KWA NCHI ZA KIAFRICA IKIWEMO TANZANIA.
niaje j4.

#2 vuguvugu

    African Hip Hop Newbie

  • Members
  • 7 posts
  • Locationarusha,tanzania

Posted 29 March 2005 - 11:33 AM

kweli chali angu umesemakitu ya kweli,kwanza huyoo anayejiita shule kongwe hizi anajua naana yake au,,,,unajua wahajui kazi pili ni hivi wakiona akina watoto wa gorofani wanacheza njimbo za wabongo wajue hao ni wasanii wa mkoa wao ndo maana wanacheza kila siku akina juma nature ay na wasani wengine wengi wa kibongo au sio bwana ,kwa hiyo na wao wanatakiwa kucheza njimbo za maemcc wa a,tawn si ndio mkubwa,,,iliyobaki ni kufirana tu ,kwabnza mtoto tass check nao hii ni arusha so mwanza kuwa hip hop cheza njimbo za nigger acha ik ya ki se*** iliyobaki ni kuwavua bukta ki hip hop watoto wa mama msipimeeee kabisa,
hay j4, mambo niaje

#3 uhuru

    Member

  • Members
  • PipPip
  • 27 posts
  • LocationArusha ,Tanzania

Posted 20 October 2005 - 01:41 PM

[EBWANA HIPHOP NI UKWELI NA NDIO MAANA ANABANIWA LAKINI WASANII WA HIPHOP WASIKONDE WAWE HURU.
niaje j4.





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users