ebwana mkubwa hawa wanaojiita madj wanaharibu sana huu mziki wa hiphop tz,sasa dawa yao ni wasani wa hip hpo waungane wawe kitu kimoja pili wawajadili hakuna kumpa dj maji wala kimezeo.kwa upande mi naona ni kuwateka na kuwapa kitu inauma alafu watajierkebisha,kitu kingine hamna kuzoeana na mather fuck dj yoyote ,,,,,,, mwaka huu lazima hiphpo itasimama.sanansana hawa claus wanachangia kuharibu mziki wa hiphop .kwanza kunaredio inayoitwa tripo a fm tulijua nao watachangia kukuza mziki wa a.tawn lakini nao hola sasa hao mwaka huu lazima watatia akiliu,hip hop,,, au munasemaje wazeeeeeee
hawa watangazaji wa kibongo ni kujuananao kimatako matako
Started by vuguvugu, Jan 22 2005 01:58 PM
9 replies to this topic
#1
Posted 22 January 2005 - 01:58 PM
hay j4, mambo niaje
#2
Posted 03 February 2005 - 03:05 PM
nakuunga mkono, hii lazima iwe mapambano ili kuwakata midomo,ninauchungu na haw vinabo,wanapiga nyimbo za kichoko wanaita vipindi vyao hiphop halafu wanatuletea mambo ya milupo,ni mmoja baada ya mwenzake kichapo,siunajua tunahitataji wenye msimamo ili hphop iendelee kuwepo,A-Town mwaka lazima iwe hewani,mzee tuko studio tunasubiri kwenda hewani,kwa nguvu zote lazima iwe redio tripo au mawinguni,ni kwa lazima hakuna kugive up,
ebwana vuguvugu hii iyo akili.mi naishi a town kama nawe ni wa a town tuonane au sio,wanajaribu kuzima hiphop na kuleta matako yao.nyimbo muhimu ili wajue sisi tupo.hakuna kumwacha m******* yao
pamoja ua siooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.
ebwana vuguvugu hii iyo akili.mi naishi a town kama nawe ni wa a town tuonane au sio,wanajaribu kuzima hiphop na kuleta matako yao.nyimbo muhimu ili wajue sisi tupo.hakuna kumwacha m******* yao
pamoja ua siooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.
on the road to succed you have to pass in the different way to reach the point , from the start be nice to other who around you dont look back whenever there is no neccesary
#3
Posted 07 September 2005 - 09:26 AM
hAKUNA HIP HOP YA KWELI BONGO unaimba kunufaisha watu flani wati is laki kana aiwezi hata kununua dola mia fungua macho wati is milioni kama hata sio dola elfu moja ona mbali. acha ujinga tumia jicho la tatu kuona vitu. uongo mtupu ati sipigi track yako kama utoi alfu hamsini damn it that is nah hiphop kuna muziki....na wanaoharibu ni hao waliopata chances huku kwenye....bila hata..... tabia mbay mbay ysana inauwa vipaji
peace
E-Attack
peace
E-Attack
Bitches are like tornadoes scream when they come,and take everything when they leave
#4
Posted 01 June 2006 - 08:40 AM
hawa ma djz ni makuma,wanajiona kama wao ni watoa huduma,sasa hakuna huruma tutayapandisha maji mlima kwa kufunga mota,hata huku dom hawa commercia djz wanazorota,wachizi wa kambi ya east tumeandaa volts ya 30000 mega ili kuakikisha wanadedi, :oops: hiphop zetu wanasema zina matusi.hawajui kama hawajui fuck them all.ninashine mtaani sitegemei dj.
#5
Posted 01 June 2006 - 08:49 AM
hawa ma djz ni makuma,wanajiona kama wao ni watoa huduma,sasa hakuna huruma tutayapandisha maji mlima kwa kufunga mota,hata huku dom hawa commercia djz wanazorota,wachizi wa kambi ya east tumeandaa volts ya 30000 mega ili kuakikisha wanadedi, :oops: hiphop zetu wanasema zina matusi.hawajui kama hawajui fuck them all.ninashine mtaani sitegemei dj.nyie wakina dark masta na mangwear acheni kutegemea hao djz mtakufa kifo chenye mateso makali kuliko cha masihi,nahimiza muache hongo,hiphop haikuinui,hiphop uniinua,wala ustegemee kiinua mgongo
#6
Posted 01 June 2006 - 03:01 PM
Is not there fault,if all artist could be united and demand there right rather than bribe these Dj.I think will be proper way for succeses.The problem of TZ is too much coruption.If you wanna be on air you have to be on benderkneez of DJ or promotor .this is stupidty .sometime is funny to here Dj is promotor , manager of someone .Other their on body becouse they new some one .look you have got MP Chifupa what does she doing for you guys ? is becouse you are blind.Why cant you put pressure on her? is bcouse you dont know why she is there ?everything bongo is just killing of time .Music is talent and job as well.Other think is just a trash no.We need revolution couser not only for us but also for he coming generation.You may organise your self and open your studio or redio by apply loan . wake up guys.............
whats up
#7
Posted 01 June 2006 - 03:05 PM
Is not there fault,if all artist could be united and demand there right rather than bribe these Dj.I think will be proper way for success.The problem of TZ is too much coruption.If you wanna be on air you have to be on benderkneez of DJ or promotor .this is stupidty .sometime is funny to here Dj is promotor , manager of someone .Other their on body becouse they new some one .look you have got MP Chifupa what does she doing for you guys ? is becouse you are blind.Why cant you put pressure on her? is bcouse you dont know why she is there ?everything bongo is just killing of time .Music is talent and job as well.Other think is just a trash no.We need revolution couser not only for us but also the coming generation.You may organise your self and open your studio or redio by apply loan .wake up guys .........
whats up
#8
Posted 26 August 2006 - 11:11 AM
[ OI NIAJE MACHIZ MIMI NAWAPA BIG UP KINOMA KWA KAZI YA STREETLIFE DRAMA
EEBWANA NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA MACHIZ AU SIYO MBELE TUTAFIKA TUNAPOTAKA,
HIZI BIG UP NI HEAVY WEIGHT BILA KUSAHAU KAMBI TATA,OI.
EEBWANA NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA MACHIZ AU SIYO MBELE TUTAFIKA TUNAPOTAKA,
HIZI BIG UP NI HEAVY WEIGHT BILA KUSAHAU KAMBI TATA,OI.
niaje j4.
#9
Posted 06 April 2007 - 03:59 PM
kwa kweli napenda kuwapa pole wapenzi wote wa nell aka faa nelli mzee wa isia kwa kweli adui tutamsaka mpaka mwisho wa kiama.. kuuza revolution ni sawa na kumuuwa faza,,machizi tuwache bifuu za kisoro l
hay j4, mambo niaje
#10
Posted 19 February 2009 - 07:26 AM
ma mc nao wakaze mkundu!ukiwa na kazi nzuri itakubalika tu!hata wakibana wataachia.chema chajiuza..kibaya chajitembeza...
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users













