Nilisoma artical moja hivi katika darexplosion.com, nikashangaa kumbe ma old school wa bongo hiphop bado wanataka kurudi na misantuli?? :o
Nilidhani KU (kwanza Unit) ilikua imekufa lakini kumbe bado wapo, wanakuja na album! (nadhani)??
Sasa inakuwa kua vipi? nasikia kila moja yuko mbele mbele viwanja wana kutana vipi? katika mambo ya studio? au wana chukua vocals tu na kuingiza katika mitwango mambo ya technology?
Au ni maneno tu bila vitendo?
huh
Started by sosa, Dec 10 2002 04:19 PM
2 replies to this topic
#1
Posted 10 December 2002 - 04:19 PM
#2 Guest_Deezastah_*
Posted 12 December 2002 - 02:52 PM
Time will tell.....au siyo mzee Sosa? sisi tusubiri tu
#3
Posted 13 December 2002 - 04:49 AM
nadhani kwenye ile article inasema wanampango wa kukutana sasa hapo sijui kama wakutana wapi na lini ..isipokuwa naona wakongwe wameamua kudhihirisha bado wapo kwani nilisoma article nyingine kuwa GWM nao wanataka kurudi na kitu..
hivyo tusikilizie kama watakuja na moto
hivyo tusikilizie kama watakuja na moto
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












