WE c Nduli Dada bac mi Nyerere,
Unajiona mfalme nimekuja haina kwefere,
we ni giza mi mwanga nakukimbiza,
Siko makini huna lolote nakupoteza,
hufai hip hop unatakiwa dansi,
huna mapafu huiwezi hii kac,
mi ndo boc we konda wa Basi,
Unakataa huna mafua wakati unamakamasi.....
msiba utakua kwenu Kama unaweza jibu,
Jiandae kuvaa bikini kwahiyo ntakutoa mapumb* :oops:
kabla Huja-CLICK hapa...kwanza tangaza Msiba kwenu.
Started by alcapaino, Oct 25 2004 06:09 PM
89 replies to this topic
#81
Posted 24 May 2007 - 09:17 AM
#82
Posted 24 May 2007 - 08:56 PM
hii sumu kali we gozogozo usijaribu kunusa//
unapoteza uwelekeo bwana mdogo YUSA//
kama WE nyerere mi Mwinyi nakupa ruksa
una byt rymz za bi kidude acha upemba
au we mamboswafi sema tukuvishe kilemba
bora ufanye bato na mh,Temba//
umekutana na bolo nene//na ku pimp ka malaya kisha mi nadaka mapene
we bongo levya huu mziki mnene
nakutomba kimashairi kavu kavu bila kondomu
ku bato na mimi ni sawa kumuua swala kwa bomu
unapoteza uwelekeo bwana mdogo YUSA//
kama WE nyerere mi Mwinyi nakupa ruksa
una byt rymz za bi kidude acha upemba
au we mamboswafi sema tukuvishe kilemba
bora ufanye bato na mh,Temba//
umekutana na bolo nene//na ku pimp ka malaya kisha mi nadaka mapene
we bongo levya huu mziki mnene
nakutomba kimashairi kavu kavu bila kondomu
ku bato na mimi ni sawa kumuua swala kwa bomu
#83
Posted 25 May 2007 - 02:40 PM
We unatoa Sumu mi natengeneza,
kabla ya ku-battle na mimi unapaswa kujifunza,
Mistari yako imeoza-naona tu funza,
Mi ni soldier vitani ndo home ahsante kwa kunchokoza,
Cna shaka lazima we ni choko,
Ndo maana unadhani kila m2 ni mwenzako,
Vi- line vyako vinanipa kicheko,
We huniwezi mimi kamwite mwalimu wako,
Unanipa Ruksa basi anza kuvua boxer,
geukia ukuta nianze kukupa mikasa,
Usishindane na moto a.k.a YUSA,
Msizwa we farao.. mi ndo Musa,
Nimeshakuja sipotei japo aghali kama pesa...
:evil:
kabla ya ku-battle na mimi unapaswa kujifunza,
Mistari yako imeoza-naona tu funza,
Mi ni soldier vitani ndo home ahsante kwa kunchokoza,
Cna shaka lazima we ni choko,
Ndo maana unadhani kila m2 ni mwenzako,
Vi- line vyako vinanipa kicheko,
We huniwezi mimi kamwite mwalimu wako,
Unanipa Ruksa basi anza kuvua boxer,
geukia ukuta nianze kukupa mikasa,
Usishindane na moto a.k.a YUSA,
Msizwa we farao.. mi ndo Musa,
Nimeshakuja sipotei japo aghali kama pesa...
:evil:
#84
Posted 26 May 2007 - 07:57 PM
acha kuchonga dogo we ni looser/
huna line za kijanja,,zimezeeka ka ajuza/
nakujaza ujinga kama hewa ya ftuza/
mi ndo freesrtyl master, hustler ,mi ndo mwanaapolo
unataka nivue boxer basi anza kunyonya bolo
utamu umekolea nikukojolee mdomoni au utanipa nyoro
wacha nipake mafuta lainisha ngozi nyororo/
bwana mdogo nakuweka kipolo
na kesho unipe tena mgongo mgongo ka twanga chipolopolo
haki haiwi batili huwezi kujiita Mussa
we ni mc gozogozo choko YUSA
huna udhu kwanza kaoge janaba
mi ndo msizwa mpaka penati nakaba
usijaribu kulinganisha thamani ya dhahabu na shaba
huna line za kijanja,,zimezeeka ka ajuza/
nakujaza ujinga kama hewa ya ftuza/
mi ndo freesrtyl master, hustler ,mi ndo mwanaapolo
unataka nivue boxer basi anza kunyonya bolo
utamu umekolea nikukojolee mdomoni au utanipa nyoro
wacha nipake mafuta lainisha ngozi nyororo/
bwana mdogo nakuweka kipolo
na kesho unipe tena mgongo mgongo ka twanga chipolopolo
haki haiwi batili huwezi kujiita Mussa
we ni mc gozogozo choko YUSA
huna udhu kwanza kaoge janaba
mi ndo msizwa mpaka penati nakaba
usijaribu kulinganisha thamani ya dhahabu na shaba
#85
Posted 01 August 2007 - 07:38 PM
Ukweli ukweli tu babaake si offense masela wamekukacha na zao rhymes fake, wananakuja kwa kubip, ukipiga hawapokei. wanalewa kwa kujikubali wanyewe,usemi wa mgema akisifiwa kwao itabaki msamiati,wanasaliti game kwa mistari iliyopinda pinda, hata kontua haisapoti. Grounds hawana wazushi ka RVF kisha wanasepa, hii ni zaidi ya HIV bado tunalisongesha. sitabiriki, ukitest kutabiri nakuotea ka tsunami
#86
Posted 19 February 2009 - 11:24 AM
bahati said:
Ukweli ukweli tu babaake si offense masela wamekukacha na zao rhymes fake, wananakuja kwa kubip, ukipiga hawapokei. wanalewa kwa kujikubali wanyewe,usemi wa mgema akisifiwa kwao itabaki msamiati,wanasaliti game kwa mistari iliyopinda pinda, hata kontua haisapoti. Grounds hawana wazushi ka RVF kisha wanasepa, hii ni zaidi ya HIV bado tunalisongesha. sitabiriki, ukitest kutabiri nakuotea ka tsunami
Oyaa Bahati (Mad) haina nouma mwana
Naona forum imekuwa tupu kama jangwa ngamia wote wametoweka, sijui ni kweli wamekacha! ama majukumu yamewazidi
Siku nyingi sija-batto....ngoja mtu achokoze nirudi tena!
Wapi watu wangu?... Sosa, He.Ki.Ma, Soul Rebel, Ambax, Quetzal (Seby), Miko.......
alcapaino.MG
My blood brotha Geoff-KG a.k.a the 'wreckogniza', my dawgs Frank Mtambalike (Majinge) a.k.a ChokaMbaya & Complex-x.
Rest In Peace Brothaz
Rest In Peace Brothaz
#87
Posted 02 June 2009 - 10:39 PM
Wesso on the scene/ku see whats going on here with these mc's
ni consider mimi ka shaolin master/ukipiga wote utapata zamu yako na master
ha ha ha nacheka /kwani amna yeyote humu anyeniweza
kama nivyosema / i am wesso and on the scene/so hold tight as i make my way in
the tournament kama mortal kombat/mi johnny cage/battle on the way
nauliza yukwapi oponent wangu/kuna yeyote humu ndani anaye weza kuwa mpinzani wangu
basi ka bi harusi aje mbele/tuanza battle bila delay
mistari baada mistari/tuone nani aliye hodari
Hola
1
ni consider mimi ka shaolin master/ukipiga wote utapata zamu yako na master
ha ha ha nacheka /kwani amna yeyote humu anyeniweza
kama nivyosema / i am wesso and on the scene/so hold tight as i make my way in
the tournament kama mortal kombat/mi johnny cage/battle on the way
nauliza yukwapi oponent wangu/kuna yeyote humu ndani anaye weza kuwa mpinzani wangu
basi ka bi harusi aje mbele/tuanza battle bila delay
mistari baada mistari/tuone nani aliye hodari
Hola
1
#88
Posted 09 July 2009 - 10:53 AM
Wesso mwali, muogo mtamu wa yangu futari,
kyela wangekuita wali, tabora ni ya nyuki wadogo asali!
batto!!...kama unaiweza tuzame ziwani mi sangara we sato!
kub*b*b*ko!...unapitia biharamulo wakati kuna lami chato
rhyme zangu kufuli kamuulize magufuli
nimezaliwa kiburi zamia wangu mduara wanahisabati wanauita sifuri
album yako kwangu single, chorus yangu kwao jingle
mweupe kwa wangu mpingo, unaulizia 'hesabu' ya gari wakati we utingo!!
hamnaga utani zangu tungo zipo mtungo kama korodani
uasherati wangu wa mizani unafuka zaidi ya harufu ya kwapa la mfungwa gerezani
.....x......v....xvsjssll........fkfkf
crackmonimolla.......f...........ggg...........enizolla
......silentskin...........zincamalgam......inconcHCL......nightmover....fhgkj.....mg...theyullu
...likmos.......fx=f=ma=e=mc2.......original....mg....productionz....ndongavampire.......
DUUH HII KEYBOARD IMEKUAJE TENA!!
Note: unapitia biharamulo wakati kuna lami chato (ukitaka kubatto na mtu um-specify na sio kuzungusha maneno)
kyela wangekuita wali, tabora ni ya nyuki wadogo asali!
batto!!...kama unaiweza tuzame ziwani mi sangara we sato!
kub*b*b*ko!...unapitia biharamulo wakati kuna lami chato
rhyme zangu kufuli kamuulize magufuli
nimezaliwa kiburi zamia wangu mduara wanahisabati wanauita sifuri
album yako kwangu single, chorus yangu kwao jingle
mweupe kwa wangu mpingo, unaulizia 'hesabu' ya gari wakati we utingo!!
hamnaga utani zangu tungo zipo mtungo kama korodani
uasherati wangu wa mizani unafuka zaidi ya harufu ya kwapa la mfungwa gerezani
.....x......v....xvsjssll........fkfkf
crackmonimolla.......f...........ggg...........enizolla
......silentskin...........zincamalgam......inconcHCL......nightmover....fhgkj.....mg...theyullu
...likmos.......fx=f=ma=e=mc2.......original....mg....productionz....ndongavampire.......
DUUH HII KEYBOARD IMEKUAJE TENA!!
Note: unapitia biharamulo wakati kuna lami chato (ukitaka kubatto na mtu um-specify na sio kuzungusha maneno)
My blood brotha Geoff-KG a.k.a the 'wreckogniza', my dawgs Frank Mtambalike (Majinge) a.k.a ChokaMbaya & Complex-x.
Rest In Peace Brothaz
Rest In Peace Brothaz
#89
Posted 19 July 2009 - 08:56 AM
fundiaminy aka mzee wa mikoba nakuja fulmikoba,niko sobber,vesi ni fupi ya kuwabwaga kwenye flo kama chupi,fek mcz kama wesso na alca nawang'oa kwenye flo mike nikiifanya reki....hahaha jamaa mpo lakin?
#90
Posted 18 August 2009 - 10:38 AM
alcapaino said:
The King of Metaphorz kaja tena...Kudadeeki!
Nazani sasa kitakachotokea ni kifo cha mizani kwani kawaida sina utani inapokuja ishu nzima ya ku-ghani....
Mi ndo faza, sihitaji kipaza napotaka kuwapa laza au vipi braza?
Si mnanijua, rhyme zangu mnazitambua, basi ondoeni hofu nipo tayari kuwachengua.
Nawapa Holla tu coz bado naandaa mazishi ya wale wabishi.
alcapaino.Mg
'the town tolka'
Nazani sasa kitakachotokea ni kifo cha mizani kwani kawaida sina utani inapokuja ishu nzima ya ku-ghani....
Mi ndo faza, sihitaji kipaza napotaka kuwapa laza au vipi braza?
Si mnanijua, rhyme zangu mnazitambua, basi ondoeni hofu nipo tayari kuwachengua.
Nawapa Holla tu coz bado naandaa mazishi ya wale wabishi.
alcapaino.Mg
'the town tolka'
mazishi uliyotegemea hayajatokea
wazushi wapishi wa uongo lungu wamepewa
walodhaniwa wabishi,wamegeuka mapromota
kupromoti walichokua wakipinga
ujinga katika fani ushatia nanga
maneno ya khanga yakatoa mwanga
jifunze kupitia visanga-
mikasa ikija uweze kujikinga!
watoto wanawadharau wakunga
wakidhani watakua wachanga daima!
ZAO LA MTAA
T.M.K akademy-non shobo squad
T.M.K akademy-non shobo squad
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users













