Ati ni maendeleo/
wanabomoa biashara/
kutengeza barabara/
ati ni by pass/
average citizen aezi pass/
avuke io side ingine ya poverty/
naskia kuna experts committee/
katiba ni ya wenye nchi ama wana nchi/
wakistruggle kumake salasa/
inabaki ni mwana siasa/
ndio anachambua hizo kurasa/
una cast ballot but decision uliamuliwa/
fungua macho kabla haujaliwa/
wenye tukieka ofisi/
kumbe ni mafisi
Sauti Ya Chini
Started by tha high priest, May 08 2010 12:17 PM
5 replies to this topic
#1
Posted 08 May 2010 - 12:17 PM
#2
Posted 11 May 2010 - 07:45 AM
naskia waki-take aim/
wanarushia mascape goat hawawezi take blame/
mwafrika na-absorb pain/
politic,mziki wanabonga lame/
hii ni war baridi,war psyhcolological ikizidi/
nakumbuka reverse psychology referendum ya 2005/
walijidai wanataka Yes,Raila influential,walijua watafjiwekea powers right/
wanawika tuna rights,but tuna-write vile saa hii hakuna lights/..kwa brain!
tulizima reason,brain-wash season/
sema ukweli - inakuwa treason../
c zone,nabagua arms../
ni pen ama mic nispit psalms../za
vile ntajifree from hii fall../
Yes No,najistiri nisitupe weak call/
checki High Priest awashow vile hizi blak thoughts zina-roll../
wanarushia mascape goat hawawezi take blame/
mwafrika na-absorb pain/
politic,mziki wanabonga lame/
hii ni war baridi,war psyhcolological ikizidi/
nakumbuka reverse psychology referendum ya 2005/
walijidai wanataka Yes,Raila influential,walijua watafjiwekea powers right/
wanawika tuna rights,but tuna-write vile saa hii hakuna lights/..kwa brain!
tulizima reason,brain-wash season/
sema ukweli - inakuwa treason../
c zone,nabagua arms../
ni pen ama mic nispit psalms../za
vile ntajifree from hii fall../
Yes No,najistiri nisitupe weak call/
checki High Priest awashow vile hizi blak thoughts zina-roll../
#3
Posted 17 May 2010 - 02:33 PM
eyo tuko freestyle basements /
tuki drop ma sentiments/
hi ni soul searchin/
aunipati kwa modulations/
but uki dai deep mediattion/
unaeza nipa some attention/
ku banjuka ni poa na si chuki genge/
but kuna time unafa ku change diet ya brain/
ku avoid mental malnutrition/
hizi lines zina kubalancia diet/
yani niko cipher collabo na street poet/
kumanisha hip hop bado iko/
word play timam heads wana finya replay/
siandikangi daily,but nikishaika pen /
na drop lyrical monuments/
peace to the fam mizani,couzifer,fikrah,
eyo qham ongeza mistari cipher iwake
tuki drop ma sentiments/
hi ni soul searchin/
aunipati kwa modulations/
but uki dai deep mediattion/
unaeza nipa some attention/
ku banjuka ni poa na si chuki genge/
but kuna time unafa ku change diet ya brain/
ku avoid mental malnutrition/
hizi lines zina kubalancia diet/
yani niko cipher collabo na street poet/
kumanisha hip hop bado iko/
word play timam heads wana finya replay/
siandikangi daily,but nikishaika pen /
na drop lyrical monuments/
peace to the fam mizani,couzifer,fikrah,
eyo qham ongeza mistari cipher iwake
#4
Posted 17 May 2010 - 04:13 PM
tha high priest said:
peace to the fam mizani,couzifer,fikrah,
eyo qham ongeza mistari cipher iwake
eyo qham ongeza mistari cipher iwake
eyo mzuka mtu wangu,mistari timam wacha tuiep vimajor,,narudi kudrop feed cipher iwake.
#5
Posted 18 May 2010 - 06:41 AM
na "chip" in hii cipher na ku-flow ka data...
za ma-computer maMC's wanabaki kudata
naona ni Red Green then naskia ni Yes No
oh no! labda niko color blind but hii mind...
iko clear naeza swear, maMPs bado wata-get twisted
undecided wengine wana-remain divided
mwananchi nisha-take sides kwa battle field
weapon iko lethal nai-concele nangoja whistle
nasiongei rungu na mapanga niliona 2007/08
niko armed phsycologically lakini pia physically niko fit
uliza Qham atakushow hii war ni baridi na sio jihad
ukizubaa mchizi una-freeze na tunazidi ku-breeze
maintain mind yako at ease na usikubali mtu aku-tease
brain iko punctured thoughts zinafanya ku-ooze
cipher inazidi ku-flow wisdom bado tunawashow
na msilete show eti juu tunabonga "sauti ya chini"
hio ni metaphor jaribu kuielewa kwanza!!!
ama consult high priest, Qham, fikrah pia mizani
za ma-computer maMC's wanabaki kudata
naona ni Red Green then naskia ni Yes No
oh no! labda niko color blind but hii mind...
iko clear naeza swear, maMPs bado wata-get twisted
undecided wengine wana-remain divided
mwananchi nisha-take sides kwa battle field
weapon iko lethal nai-concele nangoja whistle
nasiongei rungu na mapanga niliona 2007/08
niko armed phsycologically lakini pia physically niko fit
uliza Qham atakushow hii war ni baridi na sio jihad
ukizubaa mchizi una-freeze na tunazidi ku-breeze
maintain mind yako at ease na usikubali mtu aku-tease
brain iko punctured thoughts zinafanya ku-ooze
cipher inazidi ku-flow wisdom bado tunawashow
na msilete show eti juu tunabonga "sauti ya chini"
hio ni metaphor jaribu kuielewa kwanza!!!
ama consult high priest, Qham, fikrah pia mizani
#6
Posted 18 May 2010 - 09:04 AM
good to see you in here couz :D lets kill this...
magharibi kusini, mashariki tupo sisi,
firimbi ya mgambo keshalia, lakini naona machozi ya fisi,
werevu umezidi, lakini msimamo wao baridi,so..
wanashangaa tunavyo ng’aa,tushapeleka kwa mola zetu salaa,
sauti za chini twapaza lakini echo ‘napaa,
heko kwa hii clik, Mizani Couz Fikrah Priest na Qham,
cipher imewaka moto,leteni rivals wa haki,
tuwachome ka nyama choma,fry ufisadi,
watakoma na zao sly itikadi,
cheki tunavyopungua mamcee idadi,
voice kwa street zatuhitaji,
anzisha miradi ya kuamsha hivi vizazi,
wamelazwa na tse tse flies, tadhani katiba tiba tatibu hizi maradhi
Couzifer said:
cipher inazidi ku-flow wisdom bado tunawashow
na msilete show eti juu tunabonga "sauti ya chini"
na msilete show eti juu tunabonga "sauti ya chini"
firimbi ya mgambo keshalia, lakini naona machozi ya fisi,
werevu umezidi, lakini msimamo wao baridi,so..
wanashangaa tunavyo ng’aa,tushapeleka kwa mola zetu salaa,
sauti za chini twapaza lakini echo ‘napaa,
heko kwa hii clik, Mizani Couz Fikrah Priest na Qham,
cipher imewaka moto,leteni rivals wa haki,
tuwachome ka nyama choma,fry ufisadi,
watakoma na zao sly itikadi,
cheki tunavyopungua mamcee idadi,
voice kwa street zatuhitaji,
anzisha miradi ya kuamsha hivi vizazi,
wamelazwa na tse tse flies, tadhani katiba tiba tatibu hizi maradhi
1 user(s) are reading this topic
0 members, 1 guests, 0 anonymous users












