Jump to content


wasanii acheni kukandiana


1 reply to this topic

#1 Guest_mama tau_*

  • Guests

Posted 03 November 2002 - 10:24 AM

nawashanga wasanii ambao baaaadala ya kusaidiana na kutataua matatizo ya kunyonywa hela zao wanaimbana sana katika tungo zao.
Kwa mfano huyu dada anayejiita gaidi na huyu Siosta P kwa nini mnasumbuana kwa kuimbana.
Tungeni muziki mzuri wakiukubali mtapata hela wakiwanyima muwataison hao wajinga jinga wanaowaibia kama anavyofanya Dudu baya :oops:

#2 Guest_mr blow_*

  • Guests

Posted 03 November 2002 - 11:00 AM

fo shizzo ma lilo lizo :lol: waabie hao..........





1 user(s) are reading this topic

0 members, 1 guests, 0 anonymous users